Kutoka 6:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC25 Na Eleazari mwana wa Haruni akamwoa mmoja miongoni mwa binti za Putieli; naye akamzalia Finehasi. Hawa ndio vichwa vya nyumba za baba wa Walawi kulingana na jamaa zao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Eleazari, mwana wa Aroni, alimwoa mmoja wa binti za Putieli, naye akamzalia Finehasi. Hawa ndio waliokuwa wakuu wa jamaa za Lawi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Eleazari, mwana wa Aroni, alimwoa mmoja wa binti za Putieli, naye akamzalia Finehasi. Hawa ndio waliokuwa wakuu wa jamaa za Lawi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Eleazari, mwana wa Aroni, alimwoa mmoja wa binti za Putieli, naye akamzalia Finehasi. Hawa ndio waliokuwa wakuu wa jamaa za Lawi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Eleazari mwana wa Haruni akamwoa mmoja wa binti za Putieli, naye akamzalia Finehasi. Hao walikuwa wakuu wa jamaa za Walawi, kufuatana na koo zao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Eleazari mwana wa Haruni akamwoa mmoja wa binti za Putieli, naye akamzalia Finehasi. Hawa walikuwa ndio wakuu wa jamaa za Walawi, ukoo kwa ukoo. Tazama sura |