Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 6:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Na wana wa Kora; ni Asiri, na Elkana, na Abiasafu; hizo ni jamaa za hao Wakora.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Nao watoto wa kiume wa Kora walikuwa: Asiri, Elkana na Abiasafu, ambao walikuwa mababu wa jamaa za Kora.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Nao watoto wa kiume wa Kora walikuwa: Asiri, Elkana na Abiasafu, ambao walikuwa mababu wa jamaa za Kora.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Nao watoto wa kiume wa Kora walikuwa: Asiri, Elkana na Abiasafu, ambao walikuwa mababu wa jamaa za Kora.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Wana wa Kora walikuwa: Asiri, Elkana na Abiasafu. Hizo zilikuwa koo za Kora.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Wana wa Kora walikuwa: Asiri, Elikana na Abiasafu. Hawa walikuwa ndio koo za Kora.

Tazama sura Nakili




Kutoka 6:24
12 Marejeleo ya Msalaba  

Elkana, na Ishia, na Azaleli, na Yoezeri, na Yashobeamu, Wakora;


Na hawa ndio waliohudumu pamoja na wana wao. Katika wana wa Wakohathi; Hemani mwimbaji, mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli;


Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu.


Maskani zako zapendeza kama nini, Ee BWANA wa majeshi!


Na wana wa Ishari; ni Kora, na Nefegi, na Zikri.


Basi Kora, mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, akatwaa watu, pamoja na Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu, na Oni, mwana wa Pelethi, waliokuwa wana wa Reubeni;


nchi ikafunua kinywa chake, na kuwameza, na watu wa nyumba zao na wote walioshikamana na Kora, na vyombo vyao vyote.


Palikuwa na mtu mmoja wa Rama, Msufi, wa nchi ya milima milima ya Efraimu, jina lake akiitwa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu, mwana wa Sufu, Mwefraimu


Tufuate:

Matangazo


Matangazo