Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 6:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Na wana wa Kohathi; ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli; na miaka ya maisha ya huyo Kohathi ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na mitatu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka mia moja na thelathini na tatu (133).

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.

Tazama sura Nakili




Kutoka 6:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

wa wana wa Uzieli; Aminadabu mkuu wao, na nduguze mia moja kumi na wawili.


Wana wa Kohathi; Amramu, Ishari, Hebroni, na Uzieli, watu wanne.


Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


Na wana wa Kohathi; Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


Mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaenda akaoa binti mmoja wa Lawi.


Musa akawaita Mishaeli na Elisafani, wana wa Uzieli mjombaye Haruni, na kuwaambia, Njoni karibu, mwachukue hawa ndugu zenu, mkawaondoe hapa mbele ya maskani, mwende nao nje ya kambi.


Na hao waliohesabiwa katika Walawi kwa jamaa zao ni hawa; wa Gershoni, jamaa ya Wagershoni; na wa Kohathi, jamaa ya Wakohathi; na wa Merari, jamaa ya Wamerari.


Na wana wa Kohathi kwa jamaa zao ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo