Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 40:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Kisha utaliweka birika kati ya hema ya kukutania na hiyo madhabahu, nawe utatia maji ndani yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Birika la kutawadhia utaliweka katikati ya hema la mkutano na madhabahu na kulijaza maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Birika la kutawadhia utaliweka katikati ya hema la mkutano na madhabahu na kulijaza maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Birika la kutawadhia utaliweka katikati ya hema la mkutano na madhabahu na kulijaza maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 weka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, na uweke maji ndani yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 weka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, na uweke maji ndani yake.

Tazama sura Nakili




Kutoka 40:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nitanawa mikono yangu bila ya kuwa na hatia, Na kuizunguka madhabahu yako, Ee BWANA


Kisha akafanya hilo birika la shaba, na kitako chake cha shaba; shaba hiyo ilikuwa ni ya vioo vya wanawake wenye kutumika, waliokuwa wakitumika mlangoni mwa hema ya kukutania.


Kisha utaweka madhabahu ya kuteketeza sadaka mbele ya mlango wa maskani ya hema ya kukutania.


Kisha utausimamisha ukuta wa ua kuuzunguka pande zote, na kuitundika sitara ya lango la ua.


Katika siku hiyo watu wa nyumba ya Daudi, na wenyeji wa Yerusalemu, watafunguliwa chemchemi ya kuwatakasa kutoka kwa dhambi na kwa unajisi.


si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyoyatenda sisi; bali kwa rehema yake, kwa kuoshwa kwa kuzaliwa kwa mara ya pili na kufanywa upya na Roho Mtakatifu;


na tukaribie wenye moyo wa kweli, kwa utimilifu wa imani, hali tumenyunyiziwa mioyo tuache dhamiri mbaya, tumeoshwa miili kwa maji safi.


bali tukienenda katika nuru, kama yeye alivyo katika nuru, tunashirikiana sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana wake, yatusafisha dhambi yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo