Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 40:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

30 Akaliweka birika kati ya hema ya kukutania na madhabahu, akatia maji ndani yake ya kuoshea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Aliliweka birika la kutawadhia katikati ya hema la mkutano na madhabahu, na kutia maji ya kutawadha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Aliliweka birika la kutawadhia katikati ya hema la mkutano na madhabahu, na kutia maji ya kutawadha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Aliliweka birika la kutawadhia katikati ya hema la mkutano na madhabahu, na kutia maji ya kutawadha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Akaweka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, akaweka maji ndani yake kwa ajili ya kunawia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Akaweka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, akaweka maji ndani yake kwa ajili ya kunawia,

Tazama sura Nakili




Kutoka 40:30
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akafanya hilo birika la shaba, na kitako chake cha shaba; shaba hiyo ilikuwa ni ya vioo vya wanawake wenye kutumika, waliokuwa wakitumika mlangoni mwa hema ya kukutania.


Akaiweka madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa mlangoni pa maskani ya kukutania, akatoa sadaka ya kuteketezwa juu yake, na sadaka ya unga; kama BWANA alivyomwamuru Musa.


Musa na Haruni, na wanawe wakanawa mikono yao na miguu yao ndani yake;


Kisha utaliweka birika kati ya hema ya kukutania na hiyo madhabahu, nawe utatia maji ndani yake.


Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi; nitawatakaseni kutoka kwa uchafu wenu wote, na kutoka kwa vinyago vyenu vyote.


na tukaribie wenye moyo wa kweli, kwa utimilifu wa imani, hali tumenyunyiziwa mioyo tuache dhamiri mbaya, tumeoshwa miili kwa maji safi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo