Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 40:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Kisha akakitia kinara cha taa ndani ya hema ya kukutania, kuikabili ile meza, upande wa maskani ulioelekea kusini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Alikiweka kinara ndani ya hema la mkutano, upande wa kusini, mkabala wa meza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Alikiweka kinara ndani ya hema la mkutano, upande wa kusini, mkabala wa meza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Alikiweka kinara ndani ya hema la mkutano, upande wa kusini, mkabala wa meza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Akaweka kinara cha taa ndani ya Hema la Kukutania mkabala na meza upande wa kusini mwa maskani ya Mungu

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Akaweka kinara cha taa ndani ya Hema la Kukutania mkabala na meza upande wa kusini mwa Maskani ya Mungu

Tazama sura Nakili




Kutoka 40:24
13 Marejeleo ya Msalaba  

Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu.


Na ile meza utaiweka nje ya pazia, na kinara cha taa kuikabili ile meza upande wa maskani wa kuelekea kusini; na ile meza utaiweka upande wa kaskazini.


Akaipanga ile mikate juu yake mbele za BWANA; kama BWANA alivyomwamuru Musa.


Kisha akaziwasha taa zake mbele za BWANA, kama BWANA alivyomwamuru Musa.


Nawe utaleta meza na kuitia ndani, na kuviweka sawasawa vile vitu juu yake; kisha utakileta ndani kile kinara cha taa, na kuziwasha taa zake.


Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.


Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.


Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.


Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.


Siri ya zile nyota saba ulizoziona katika mkono wangu wa kulia, na ya vile vinara saba vya dhahabu. Zile nyota saba ni malaika wa yale makanisa saba; na vile vinara saba ni makanisa saba.


Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo