Kutoka 40:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Musa akaisimamisha maskani, akaviweka vitako vyake, akazisimamisha mbao zake akayatia mataruma yake, akazisimamisha nguzo zake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Mose aliweka vikalio vyake, akainua mbao zake, akashikamanisha pau zake na kusimamisha nguzo zake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Mose aliweka vikalio vyake, akainua mbao zake, akashikamanisha pau zake na kusimamisha nguzo zake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Mose aliweka vikalio vyake, akainua mbao zake, akashikamanisha pau zake na kusimamisha nguzo zake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Musa alipoweka wakfu maskani ya Mungu, aliweka vitako mahali pake, akasimamisha mihimili, akatia mataruma na kusimamisha nguzo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Musa alipoweka wakfu Maskani ya Mungu, aliweka vitako mahali pake, akasimamisha mihimili, akatia mataruma na kusimamisha nguzo. Tazama sura |