Kutoka 40:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Hata mwezi wa kwanza wa mwaka wa pili, siku ya kwanza ya mwezi maskani ile ilisimamishwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Mnamo siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza mwaka wa pili baada ya kutoka Misri, hema la mkutano lilisimikwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Mnamo siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza mwaka wa pili baada ya kutoka Misri, hema la mkutano lilisimikwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Mnamo siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza mwaka wa pili baada ya kutoka Misri, hema la mkutano lilisimikwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Kwa hiyo maskani ya Mungu ilisimikwa katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, katika mwaka wa pili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Kwa hiyo Maskani ya Mungu ilisimikwa katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, katika mwaka wa pili. Tazama sura |