Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 4:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Basi akamwacha. Ndipo huyo mkewe akanena, U bwana arusi wa damu wewe, kwa ajili ya kutahiri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Hapo Mwenyezi-Mungu akamwacha Mose. Zipora alikuwa amesema, “Bwana harusi wa damu,” kwa sababu ya kutahiri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Hapo Mwenyezi-Mungu akamwacha Mose. Zipora alikuwa amesema, “Bwana harusi wa damu,” kwa sababu ya kutahiri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Hapo Mwenyezi-Mungu akamwacha Mose. Zipora alikuwa amesema, “Bwana harusi wa damu,” kwa sababu ya kutahiri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 (Sipora alipomwita Musa, “Bwana arusi wa damu”, alikuwa anamaanisha ile tohara.) Baada ya hayo Mwenyezi Mungu akamwacha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Sipora alipomwita Musa, “Bwana arusi wa damu,” alikuwa anamaanisha ile tohara. Baada ya hayo bwana akamwacha.

Tazama sura Nakili




Kutoka 4:26
2 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Sipora akashika jiwe gumu lenye makali na kulikata govi ya zunga la mwanawe, na kulibwaga miguuni pa Musa akasema. Hakika wewe ni bwana arusi wa damu kwangu.


BWANA akamwambia Haruni, Nenda jangwani uonane na Musa. Naye akaenda, akamkuta katika mlima wa Mungu, akambusu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo