Kutoka 39:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC43 Musa akaiona hiyo kazi yote, na tazama, walikuwa wameimaliza; vile vile kama BWANA alivyoagiza, walikuwa wameifanya vivyo hivyo; basi Musa akawaombea heri. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 Mose alikagua kila kitu, akaridhika kwamba walikuwa wamefanya kila kitu kama Mwenyezi-Mungu alivyoamuru. Hivyo Mose akawabariki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 Mose alikagua kila kitu, akaridhika kwamba walikuwa wamefanya kila kitu kama Mwenyezi-Mungu alivyoamuru. Hivyo Mose akawabariki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 Mose alikagua kila kitu, akaridhika kwamba walikuwa wamefanya kila kitu kama Mwenyezi-Mungu alivyoamuru. Hivyo Mose akawabariki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 Musa akakagua kazi na kuona kuwa walikuwa wameifanya sawasawa na jinsi Mwenyezi Mungu alivyokuwa ameagiza. Kwa hiyo Musa akawabariki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 Musa akakagua kazi na kuona kuwa walikuwa wameifanya sawasawa kama vile bwana alivyokuwa ameagiza. Kwa hiyo Musa akawabariki. Tazama sura |