Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 39:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

27 Nao wakafanya hizo kanzu za nguo ya kitani nzuri ya kufumwa, kwa Haruni, na kwa wanawe

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Kisha wakawafumia Aroni na wanawe vizibao vya kitani safi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Kisha wakawafumia Aroni na wanawe vizibao vya kitani safi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Kisha wakawafumia Aroni na wanawe vizibao vya kitani safi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Pia akamtengenezea Haruni na wanawe makoti ya kitani safi, kazi ya mfumaji,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Pia akamtengenezea Haruni na wanawe makoti ya kitani safi, kazi ya mfumaji,

Tazama sura Nakili




Kutoka 39:27
14 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe fanya bamba la dhahabu safi na kuchora juu yake, mfano wa michoro ya mihuri, MTAKATIFU KWA BWANA.


njuga na komamanga, njuga na komamanga katika pindo za joho kuizunguka pande zote, ili kutumika kwa hiyo; vile vile kama BWANA alivyomwagiza Musa.


na hicho kilemba cha nguo ya kitani nzuri, na zile kofia nzuri za kitani, na hizo suruali za nguo ya kitani nzuri iliyosokotwa,


Nitafurahi sana katika BWANA, nafsi yangu itashangilia katika Mungu wangu; maana amenivika mavazi ya wokovu, amenifunika vazi la haki, kama bwana arusi ajipambavyo kwa kilemba cha maua, na kama bibi arusi ajipambavyo kwa vyombo vya dhahabu.


Itakuwa, hapo watakapoingia kwa malango ya ua wa ndani, watavikwa mavazi ya kitani; wala sufu haitakuwa juu yao, maadamu wanahudumu katika malango ya ua wa ndani, na ndani ya nyumba.


Watakuwa na vilemba vya kitani juu ya vichwa vyao, nao watakuwa na suruali za kitani viunoni mwao; hawatajifunga kiunoni kitu kisababishacho jasho.


Naye kuhani atavaa nguo yake ya kitani, na suruali zake za kitani atazivaa mwilini mwake; naye atayazoa majivu ambayo huo moto umeiteketezea sadaka juu ya madhabahu, kisha atayaweka kando ya madhabahu.


Kisha Musa akawaleta wana wa Haruni, na kuwavika kanzu, na kuwafunga mishipi, na kuwavika vilemba; kama BWANA alivyomwagiza Musa.


Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake.


ni haki ya Mungu iliyo kwa njia ya imani katika Yesu Kristo kwa wote waaminio. Maana hakuna tofauti;


Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.


Kwa hiyo iweni tayari, na makini; mkiitumainia kwa utimilifu ile neema mtakayoletewa katika ufunuo wake Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo