Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 38:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Na vigingi vyote vya maskani, na vya ua ulioizunguka pande zote vilikuwa vya shaba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Vigingi vyote vya hema na vya ua kandokando ya hema vilikuwa vya shaba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Vigingi vyote vya hema na vya ua kandokando ya hema vilikuwa vya shaba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Vigingi vyote vya hema na vya ua kandokando ya hema vilikuwa vya shaba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Vigingi vyote vya maskani ya Mungu na vya ua ulioizunguka vilikuwa vya shaba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Vigingi vyote vya maskani na vya ua ulioizunguka vilikuwa vya shaba.

Tazama sura Nakili




Kutoka 38:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na uzani wa misumari ulikuwa shekeli hamsini za dhahabu. Alivifunika vyumba vyake ghorofani kwa dhahabu.


Na sasa kwa muda kidogo tumeneemeshwa na BWANA, Mungu wetu, hata akatuachia mabaki yaokoke, akatupa msumari katika mahali pake patakatifu. Mungu wetu atutie nuru machoni mwetu, tuburudike kidogo katika kufungwa kwetu.


Vyombo vyote vya maskani vitumiwavyo katika utumishi wake wote, na vigingi vyake vyote, na vigingi vyote vya ule ua, vitakuwa vya shaba.


Na nguzo zake zilikuwa nne, na vitako vyake vinne, vilikuwa vya shaba; kulabu zake zilikuwa za fedha, na vichwa vyake na vitanzi vyake vilikuwa vya fedha.


Jumla ya vile vyombo vilivyofanywa kwa ajili ya hiyo maskani, hiyo maskani ya ushuhuda ni hii, kama vilivyohesabiwa, kama maagizo ya Musa yalivyokuwa, kwa ajili ya utumishi wa Walawi kwa mkono wa Ithamari, mwana wa Haruni, kuhani.


Maneno yao wenye hekima huwa mfano wa michokoo; na kama misumari iliyogongomewa sana; ndivyo yalivyo maneno yao walio wakuu wa makusanyiko, ambayo yatoka kwa mchungaji mmoja.


Nami nitamkaza kama msumari mahali palipo imara; naye atakuwa kiti cha utukufu kwa nyumba ya baba yake.


Angalia Sayuni, mji wa sikukuu zetu; macho yako yatauona Yerusalemu umekuwa makao ya raha; hema isiyotikisika; vigingi vyake havitang'olewa, wala kamba zake hazitakatika.


wala hakishiki Kichwa, ambacho kwa yeye mwili wote ukineemeshwa na kuungamanishwa kwa viungo na mishipa, hukua kama atakavyo Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo