Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 38:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Naye akazifanya pembe zake katika ncha zake nne; hizo pembe zilikuwa za kitu kimoja nayo; naye akaifunika shaba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Katika kila pembe ya madhabahu hiyo alitengeneza upembe uliokuwa umeundwa kutokana na madhabahu yenyewe. Madhabahu hiyo yote aliipaka shaba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Katika kila pembe ya madhabahu hiyo alitengeneza upembe uliokuwa umeundwa kutokana na madhabahu yenyewe. Madhabahu hiyo yote aliipaka shaba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Katika kila pembe ya madhabahu hiyo alitengeneza upembe uliokuwa umeundwa kutokana na madhabahu yenyewe. Madhabahu hiyo yote aliipaka shaba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Akatengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu zikawa zimeungana, akafunika madhabahu kwa shaba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Akatengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu zikawa zimeungana, akafunika madhabahu kwa shaba.

Tazama sura Nakili




Kutoka 38:2
4 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Nguvu zangu ni nguvu za mawe? Au mwili wangu, je! Ni shaba?


Nawe fanya pembe nne katika pembe zake nne; hizo pembe zitakuwa za kitu kimoja na madhabahu; nawe utayafunika shaba.


Kisha akafanya hiyo madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa, ya mti wa mshita urefu wake ulikuwa dhiraa tano, na upana wake ulikuwa dhiraa tano, ilikuwa mraba; na kwenda juu kwake kulikuwa dhiraa tatu.


Kisha akafanya vyombo vyote vya madhabahu, yaani sufuria zake, na majembe yake, na mabakuli yake, na uma zake, na meko yake; vyombo vyake vyote akavifanya vya shaba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo