Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 38:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Upande wa magharibi mlikuwa na chandarua ya dhiraa hamsini, nguzo zake zilikuwa ni kumi, na vitako vyake kumi; kulabu za hizo nguzo na vitanzi vyake vilikuwa vya fedha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Upande wa magharibi ulikuwa na chandarua chenye urefu wa mita 22, nguzo zake 10 na vikalio vyake 10. Kulabu za nguzo na vitanzi vyake vilikuwa vya fedha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Upande wa magharibi ulikuwa na chandarua chenye urefu wa mita 22, nguzo zake 10 na vikalio vyake 10. Kulabu za nguzo na vitanzi vyake vilikuwa vya fedha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Upande wa magharibi ulikuwa na chandarua chenye urefu wa mita 22, nguzo zake 10 na vikalio vyake 10. Kulabu za nguzo na vitanzi vyake vilikuwa vya fedha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Upande wa mwisho wa magharibi ulikuwa na upana wa dhiraa hamsini, na ulikuwa na mapazia, na nguzo kumi na vitako vyake kumi, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Upande wa mwisho wa magharibi ulikuwa na upana wa dhiraa hamsini na ulikuwa na mapazia, na nguzo kumi na vitako vyake kumi, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

Tazama sura Nakili




Kutoka 38:12
3 Marejeleo ya Msalaba  

na nguzo zake zitakuwa nguzo ishirini, na vitako vyake ishirini, vitako vyake vitakuwa vya shaba; kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.


Upande wa kaskazini ulikuwa ni dhiraa mia moja vivyo hivyo, nguzo zake ishirini na vitako vyake ishirini, vilikuwa ni vya shaba; kulabu za nguzo na vitanzi vyake vilikuwa vya fedha.


Upande wa mashariki kuelekea mashariki dhiraa hamsini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo