Kutoka 38:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Upande wa kaskazini ulikuwa ni dhiraa mia moja vivyo hivyo, nguzo zake ishirini na vitako vyake ishirini, vilikuwa ni vya shaba; kulabu za nguzo na vitanzi vyake vilikuwa vya fedha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Upande wa kaskazini urefu wa chandarua ulikuwa mita 44, na nguzo zake 20 za shaba, lakini kulabu za nguzo hizo na vitanzi vyake vilikuwa vya fedha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Upande wa kaskazini urefu wa chandarua ulikuwa mita 44, na nguzo zake 20 za shaba, lakini kulabu za nguzo hizo na vitanzi vyake vilikuwa vya fedha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Upande wa kaskazini urefu wa chandarua ulikuwa mita 44, na nguzo zake 20 za shaba, lakini kulabu za nguzo hizo na vitanzi vyake vilikuwa vya fedha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Upande wa kaskazini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja, pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Upande wa kaskazini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja, pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo. Tazama sura |