Kutoka 37:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Naye akaitia hiyo miti katika zile pete zilizokuwa ubavuni mwa sanduku, ili kulichukua hilo sanduku. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Mipiko hiyo akaipitisha katika zile pete zilizo katika pande mbili za sanduku, kwa ajili ya kulibebea. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Mipiko hiyo akaipitisha katika zile pete zilizo katika pande mbili za sanduku, kwa ajili ya kulibebea. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Mipiko hiyo akaipitisha katika zile pete zilizo katika pande mbili za sanduku, kwa ajili ya kulibebea. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Akaiingiza hiyo mipiko kwenye zile pete katika pande mbili za Sanduku ili kulibeba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Akaiingiza hiyo mipiko kwenye zile pete katika pande mbili za Sanduku ili kulibeba. Tazama sura |