Kutoka 37:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC26 Naye akaifunika dhahabu safi, upande wa juu, na mbavu zake pande zote, na hizo pembe zake; akaifanyia na ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Yote aliipaka dhahabu safi: Upande wake wa juu, pande zake za ubavuni na pembe zake; pia aliitengenezea ukingo wa dhahabu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Yote aliipaka dhahabu safi: Upande wake wa juu, pande zake za ubavuni na pembe zake; pia aliitengenezea ukingo wa dhahabu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Yote aliipaka dhahabu safi: upande wake wa juu, pande zake za ubavuni na pembe zake; pia aliitengenezea ukingo wa dhahabu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Akafunika hayo madhabahu juu na pande zote na pia zile pembe zake kwa dhahabu safi, na akayafanyizia ukingo wa dhahabu kuizunguka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Akafunika hayo madhabahu juu na pande zote na pia zile pembe zake kwa dhahabu safi, na akayafanyizia ukingo wa dhahabu kuizunguka. Tazama sura |