Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 37:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Kisha akafanya taa zake saba, makoleo yake na visahani vyake, vya dhahabu safi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Alikitengenezea taa saba, koleo na visahani vyake kwa dhahabu safi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Alikitengenezea taa saba, koleo na visahani vyake kwa dhahabu safi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Alikitengenezea taa saba, koleo na visahani vyake kwa dhahabu safi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Akatengeneza taa zake saba, na pia mikasi ya kusawazishia tambi, pamoja na masinia, zote kwa dhahabu safi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Akatengeneza taa zake saba, na pia mikasi ya kusawazishia tambi, pamoja na masinia, zote kwa dhahabu safi.

Tazama sura Nakili




Kutoka 37:23
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe zifanye taa zake saba; nao wataziwasha hizo taa zake, zitoe nuru mbele yake.


Na makoleo yake, na visahani vyake, vyote vitakuwa vya dhahabu safi.


Hayo matovu yake na matawi yake yalikuwa ya kitu kimoja nacho; kinara hicho kizima chote pia ni kazi moja ya kufua ya dhahabu safi.


Akakifanya cha talanta moja ya dhahabu safi, pamoja na vyombo vyake vyote.


Akaniuliza, Unaona nini? Nikasema, Nimeona, na tazama, kinara cha taa cha dhahabu tupu, nacho kina bakuli juu yake, na taa zake saba juu yake; tena iko mirija saba ya kuleta mafuta, kwa taa zote zilizo juu yake;


Nena na Haruni, ukamwambie, Utakapoziweka taa, hizo taa saba zitatoa nuru hapo mbele ya kinara cha taa.


Nikageuka niione ile sauti iliyosema nami. Na nilipogeuka, niliona vinara vya taa saba vya dhahabu;


Siri ya zile nyota saba ulizoziona katika mkono wangu wa kulia, na ya vile vinara saba vya dhahabu. Zile nyota saba ni malaika wa yale makanisa saba; na vile vinara saba ni makanisa saba.


Na katika kile kiti cha enzi kunatoka umeme na sauti na ngurumo. Na taa saba za moto zikiwaka mbele ya kile kiti cha enzi, ndizo Roho saba za Mungu.


Na mmojawapo wa wale wazee akaniambia, Usilie; tazama, Simba aliye wa kabila la Yuda, Shina la Daudi, yeye ameshinda apate kukifungua kile kitabu, na ile mihuri yake saba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo