Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 37:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 akalifunika dhahabu safi, ndani na nje, akafanya na ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Alilipaka dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu pande zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Alilipaka dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu pande zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Alilipaka dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu pande zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Akalifunika kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulizungushia ukingo wa dhahabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Akalifunika kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulizungushia ukingo wa dhahabu.

Tazama sura Nakili




Kutoka 37:2
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe utaifunikiza dhahabu safi juu yake, na mbavu zake kandokando, na pembe zake; nawe utaifanyia ukingo wa dhahabu kuizunguka.


Kisha Bezaleli akalifanya lile sanduku la mti wa mshita, urefu wake ulikuwa dhiraa mbili na nusu, na upana wake ulikuwa dhiraa moja na nusu, na kwenda juu kwake kulikuwa ni dhiraa moja na nusu;


Naye akatengeneza pete nne za dhahabu kwa ajili yake, katika miguu yake minne; pete mbili upande wake mmoja na pete mbili upande wake wa pili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo