Kutoka 37:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 nacho kilikuwa na matawi sita yaliyotoka ubavuni mwake; matawi matatu ya kinara yalikuwa upande huu, na matawi matatu ya kinara yalikuwa upande huu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Matawi sita yalitokeza kila upande wa ufito wake, matawi matatu upande mmoja na matawi matatu upande mwingine. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Matawi sita yalitokeza kila upande wa ufito wake, matawi matatu upande mmoja na matawi matatu upande mwingine. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Matawi sita yalitokeza kila upande wa ufito wake, matawi matatu upande mmoja na matawi matatu upande mwingine. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Matawi sita yalitokeza kuanzia ule ufito wa katikati wa kinara cha taa: matawi matatu upande mmoja na matatu upande mwingine. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Matawi sita yalitokeza kuanzia ule ufito wa katikati wa kinara cha taa: matawi matatu upande mmoja na matatu upande mwingine. Tazama sura |