Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 36:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Kwani vile vitu walivyokuwa navyo vilikuwa vyatosha kwa kuifanya kazi hiyo yote, kisha vilizidi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 maana vile walivyokuwa wameleta vilitosha kwa kazi hiyo na kubaki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 maana vile walivyokuwa wameleta vilitosha kwa kazi hiyo na kubaki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 maana vile walivyokuwa wameleta vilitosha kwa kazi hiyo na kubaki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 kwa sababu walivyokuwa navyo tayari vilitosha na kuzidi kuifanya kazi yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 kwa sababu walivyokuwa navyo tayari vilitosha na kuzidi kuifanya kazi yote.

Tazama sura Nakili




Kutoka 36:7
3 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ile ile mfalme akaitakasa behewa ya katikati iliyokuwa mbele ya nyumba ya BWANA; kwa kuwa hapo ndipo alipotoa sadaka ya kuteketezwa, na sadaka ya unga, na mafuta ya sadaka za amani; kwa sababu ile madhabahu ya shaba iliyokuwa mbele za BWANA ilikuwa ndogo, haikutosha kuzipokea sadaka za kuteketezwa, na sadaka za unga, na mafuta ya sadaka za amani.


Azaria kuhani mkuu, wa nyumba ya Sadoki, akamjibu, akasema, Tangu watu walipoanza kuleta matoleo nyumbani kwa BWANA, tumekula na kushiba, na kusaza tele; kwa kuwa BWANA amewabariki watu wake; na kilichosalia ndiyo akiba hii kubwa.


Basi Musa akatoa amri, nao wakatangaza mbiu katika kambi yote, wakisema, Wasifanye kazi tena, mwanamume wala mwanamke, kwa ajili ya matoleo kwa mahali patakatifu. Basi watu wakazuiwa wasilete tena.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo