Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 36:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Naye akaunganisha mapazia matano hili na hili; na mapazia matano mengine akayaunganisha hili na hili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Aliyaunga mapazia matano kufanya kipande kimoja na kufanya vivyo hivyo na yale mengine matano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Aliyaunga mapazia matano kufanya kipande kimoja na kufanya vivyo hivyo na yale mengine matano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Aliyaunga mapazia matano kufanya kipande kimoja na kufanya vivyo hivyo na yale mengine matano.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Wakayaunganisha mapazia matano pamoja, pia wakafanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Wakayaunganisha mapazia matano pamoja, pia wakafanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano.

Tazama sura Nakili




Kutoka 36:10
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ee Yerusalemu uliyejengwa Kama mji ulioshikamana,


Tazama, jinsi ilivyo vyema, na kupendeza, Ndugu kuishi pamoja, kwa umoja.


Mapazia matano yataungwa pamoja, hili na hili; na mapazia matano mengine yataungwa pamoja, hili na hili.


Kisha akafanya matanzi ya rangi ya buluu katika ncha za pazia moja, katika upindo wa kiungo chake; akafanya vivyo hivyo katika ncha ya pazia lililokuwa upande wa nje katika kiungo cha pili.


Urefu wa kila pazia ulikuwa ni dhiraa ishirini na nane, na upana wa kila pazia ulikuwa ni dhiraa nne; mapazia yote yalikuwa ya kipimo kimoja.


Maana hapo ndipo nitakapowarudishia mataifa lugha iliyo safi, wapate kuliitia jina la BWANA, wamtumikie kwa nia moja.


Wakati ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja.


Basi ndugu, nawasihi, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba nyote mnene mamoja; wala pasiwe kwenu migawanyiko, bali mhitimu katika nia moja na shauri moja.


Lakini sasa viungo ni vingi, ila mwili ni mmoja.


Basi ninyi mmekuwa mwili wa Kristo, na kila mmoja wenu akiwa kiungo cha mwili huo.


ndilo mwili wake, ukamilifu wake anayekamilika kwa vyote katika vyote.


ijalizeni furaha yangu, ili muwe na nia moja, wenye mapenzi mamoja, wenye roho moja, mkiwaza mamoja.


Basi sisi tulio wakamilifu na tuwaze hayo; na hata mkiwaza mengine katika jambo lolote, Mungu atawafunulia hilo nalo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo