Kutoka 35:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 naye amemjaza Roho ya Mungu, katika hekima, na akili, na ujuzi, na kazi ya ustadi kila aina; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Amemjaza roho yake, amempa ujuzi, akili, maarifa na ufundi, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Amemjaza roho yake, amempa ujuzi, akili, maarifa na ufundi, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Amemjaza roho yake, amempa ujuzi, akili, maarifa na ufundi, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 naye amemjaza Roho wa Mungu, pamoja na ustadi, na uwezo na ujuzi katika aina zote za ufundi, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 naye amemjaza Roho wa Mwenyezi Mungu, pamoja na ustadi, na uwezo na ujuzi katika aina zote za ufundi, Tazama sura |
mwana wa mwanamke wa kabila la Dani, na babaye alikuwa mkazi wa Tiro, yeye ni bingwa wa kutumia dhahabu, fedha, shaba, chuma, mawe na mti; na wa nguo za urujuani, samawati, nyekundu na kitani safi; tena ni stadi kwa kutia nakshi na kuchora michoro yoyote, mbunifu na kuchora chochote kufuatana na kielekezo ambacho angepewa yeye na watu wako mastadi wa bwana wangu Daudi baba yako.