Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 35:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Na wanawake wote ambao mioyo yao iliwahimiza katika hekima wakasokota hizo singa za mbuzi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Na wanawake wote waliokuwa na ujuzi walisokota manyoya ya mbuzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Na wanawake wote waliokuwa na ujuzi walisokota manyoya ya mbuzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Na wanawake wote waliokuwa na ujuzi walisokota manyoya ya mbuzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Wanawake wote waliopenda na waliokuwa na ujuzi wakasokota singa za mbuzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Wanawake wote waliopenda na waliokuwa na ujuzi wakasokota singa za mbuzi.

Tazama sura Nakili




Kutoka 35:26
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akaziangusha nyumba za mahanithi, waliokuwamo nyumbani mwa BWANA, wanawake walipofuma mapazia ya Ashera.


Wakaja kila mtu ambaye moyo wake ulimhimiza, na kila mtu ambaye roho yake ilimfanya kuwa apenda, nao wakaleta sadaka za kumpa BWANA, kwa kazi ya hema ya kukutania, na kwa utumishi wake, na kwa hayo mavazi matakatifu.


Na wanawake wote waliokuwa na mioyo ya hekima, walisokota kwa mikono yao, nao wakaleta hizo walizokuwa wamezisokota, nguo za rangi ya samawati, na za rangi ya zambarau, na hizo nyuzi nyekundu, na hiyo nguo ya kitani nzuri.


Na hao wakuu wakavileta vile vito vya shohamu, na vito vya kutiwa, kwa hiyo naivera, na kwa hicho kifuko cha kifuani,


Wana wa Israeli wakaleta sadaka za kumpa BWANA kwa moyo wa kupenda; wote, wanaume kwa wanawake, ambao mioyo yao iliwafanya kuwa wapenda kuleta kwa hiyo kazi, ambayo BWANA aliamuru ifanywe kwa mkono wa Musa.


Basi Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu, na kila mtu aliyekuwa na moyo wa akili, ambaye BWANA alimtia moyoni mwake hekima, kila mtu ambaye moyo wake ulimhimiza ili aende kuifanya kazi hiyo;


Basi kila mtu mwenye moyo wa hekima miongoni mwa hao waliofanya kazi, akaifanya hiyo maskani ya mapazia kumi; ya nguo ya kitani nzuri ya kusokotwa, na nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu; pamoja na makerubi, kazi ya fundi stadi; ndivyo alivyoyafanya.


Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo