Kutoka 35:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Kila mtu aliyetoa toleo la fedha, na la shaba, akaileta sadaka ya BWANA; na kila mtu, aliyeona kwake mti wa mshita kwa kazi yoyote ya huo utumishi, akauleta. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Kila mtu aliyeweza kutoa fedha au shaba aliileta kwa Mwenyezi-Mungu kama toleo lake. Tena mtu yeyote aliyekuwa na mbao za mjohoro alileta pia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Kila mtu aliyeweza kutoa fedha au shaba aliileta kwa Mwenyezi-Mungu kama toleo lake. Tena mtu yeyote aliyekuwa na mbao za mjohoro alileta pia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Kila mtu aliyeweza kutoa fedha au shaba aliileta kwa Mwenyezi-Mungu kama toleo lake. Tena mtu yeyote aliyekuwa na mbao za mjohoro alileta pia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Wale waliotoa sadaka ya fedha au shaba wakavileta kama sadaka kwa Mwenyezi Mungu, na kila aliyekuwa na mti wa mshita kwa ajili ya kazi yoyote ile akauleta. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Wale waliotoa sadaka ya fedha au shaba wakavileta kama sadaka kwa bwana, na kila aliyekuwa na mti wa mshita kwa ajili ya kazi yoyote ile akauleta. Tazama sura |