Kutoka 35:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Fanyeni kazi siku sita, lakini siku ya saba itakuwa siku takatifu kwenu; ni Sabato ya kustarehe kabisa kwa BWANA; mtu yeyote atakayefanya kazi yoyote katika siku hiyo atauawa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Kwa siku sita mtafanya kazi zenu; lakini siku ya saba ni Sabato siku ya mapumziko ambayo ni wakfu kwa Mwenyezi-Mungu. Yeyote atakayefanya kazi siku hiyo lazima auawe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Kwa siku sita mtafanya kazi zenu; lakini siku ya saba ni Sabato siku ya mapumziko ambayo ni wakfu kwa Mwenyezi-Mungu. Yeyote atakayefanya kazi siku hiyo lazima auawe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Kwa siku sita mtafanya kazi zenu; lakini siku ya saba ni Sabato siku ya mapumziko ambayo ni wakfu kwa Mwenyezi-Mungu. Yeyote atakayefanya kazi siku hiyo lazima auawe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Kwa siku sita, mtafanya kazi, lakini siku ya saba itakuwa takatifu kwenu, Sabato ya mapumziko kwa Mwenyezi Mungu. Yeyote atakayefanya kazi yoyote siku hiyo ni lazima auawe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Kwa siku sita, mtafanya kazi, lakini siku ya saba itakuwa takatifu kwenu, Sabato ya kupumzika kwa bwana. Yeyote atakayefanya kazi yoyote siku hiyo ni lazima auawe. Tazama sura |