Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 33:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Kisha akasema, Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Lakini hutaweza kuniona uso maana hakuna mwanadamu yeyote atakayeniona na kuishi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Lakini hutaweza kuniona uso maana hakuna mwanadamu yeyote atakayeniona na kuishi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Lakini hutaweza kuniona uso maana hakuna mwanadamu yeyote atakayeniona na kuishi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Lakini Mungu akasema, “Hutaweza kuuona uso wangu, kwa kuwa hakuna mtu yeyote awezaye kuniona akaishi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Lakini Mungu akasema, “Hutaweza kuuona uso wangu, kwa kuwa hakuna mtu yeyote awezaye kuniona akaishi.”

Tazama sura Nakili




Kutoka 33:20
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akapaita mahali pale, Penieli, maana alisema, Nimeonana na Mungu uso kwa uso, na nafsi yangu imeokoka.


wakamwona Mungu wa Israeli; chini ya miguu yake palikuwa na kama sakafu iliyofanyizwa kwa yakuti samawi, kama zile mbingu zenyewe kwa usafi wake.


Ndipo akakwea juu, Musa, na Haruni, na Nadabu, na Abihu, na watu sabini miongoni mwa wazee wa Israeli;


Tena akasema, Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo. Musa akafunika uso wake; kwa maana aliogopa kumwangalia Mungu.


Akasema, Nakusihi unioneshe utukufu wako.


nami nitaondoa mkono wangu, nawe utaniona nyuma yangu, bali uso wangu hautaonekana.


Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi.


Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.


mkasema, Tazama, BWANA, Mungu wetu, ametuonesha utukufu wake, na ukuu wake, nasi tunasikia sauti yake toka kati ya moto; mmeona leo ya kuwa Mungu husema na mwanadamu, naye akaishi.


ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyewahi kumwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina.


Je! Yuko malaika aliyemwambia wakati wowote, Uketi mkono wa kulia Hata nitakapoweka adui zako chini ya nyayo zako?


Manoa akamwambia mkewe, Hakika yetu tutakufa sisi, kwa sababu tumemuona Mungu.


Gideoni akaona ya kuwa ni malaika wa BWANA; Gideoni akasema, Ole wangu, Ee Bwana MUNGU! Kwa kuwa nimemwona BWANA uso kwa uso.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo