Kutoka 33:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Kisha akasema, Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Lakini hutaweza kuniona uso maana hakuna mwanadamu yeyote atakayeniona na kuishi.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Lakini hutaweza kuniona uso maana hakuna mwanadamu yeyote atakayeniona na kuishi.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Lakini hutaweza kuniona uso maana hakuna mwanadamu yeyote atakayeniona na kuishi.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Lakini Mungu akasema, “Hutaweza kuuona uso wangu, kwa kuwa hakuna mtu yeyote awezaye kuniona akaishi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Lakini Mungu akasema, “Hutaweza kuuona uso wangu, kwa kuwa hakuna mtu yeyote awezaye kuniona akaishi.” Tazama sura |