Kutoka 32:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC35 BWANA akawapiga hao watu, kwa tauni kwa kuifanya ile ndama, ambayo Haruni aliifanya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Mwenyezi-Mungu akawapelekea watu ugonjwa wa tauni, kwa kuwa walimwomba Aroni awafanyie yule ndama wa dhahabu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Mwenyezi-Mungu akawapelekea watu ugonjwa wa tauni, kwa kuwa walimwomba Aroni awafanyie yule ndama wa dhahabu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Mwenyezi-Mungu akawapelekea watu ugonjwa wa tauni, kwa kuwa walimwomba Aroni awafanyie yule ndama wa dhahabu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Ndipo Mwenyezi Mungu akawapiga watu kwa ugonjwa wa tauni kwa sababu ya yale waliyoyafanya na ndama yule ambaye alitengenezwa na Haruni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Ndipo bwana akawapiga watu kwa ugonjwa wa tauni kwa sababu ya yale waliyoyafanya kwa ndama yule ambaye alitengenezwa na Haruni. Tazama sura |