Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 32:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Nikawaambia, Mtu yeyote aliye na dhahabu na aivunje; basi wakanipa, nami nikaitupa ndani ya moto, akatoka ndama huyu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Nami nikawaambia, kila mmoja aliye na vito vya dhahabu na avilete. Basi, wakaniletea, nami nikaviyeyusha motoni na huyu ndama akatokea.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Nami nikawaambia, kila mmoja aliye na vito vya dhahabu na avilete. Basi, wakaniletea, nami nikaviyeyusha motoni na huyu ndama akatokea.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Nami nikawaambia, kila mmoja aliye na vito vya dhahabu na avilete. Basi, wakaniletea, nami nikaviyeyusha motoni na huyu ndama akatokea.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Kwa hiyo nikawaambia, ‘Yeyote aliye na kito chochote cha dhahabu avue.’ Kisha wakanipa hiyo dhahabu, nami nikaitupa motoni, akatokea huyu ndama!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Kwa hiyo nikawaambia, ‘Yeyote aliye na kito chochote cha dhahabu avue.’ Kisha wakanipa hiyo dhahabu, nami nikaitupa motoni, akatokea huyu ndama!”

Tazama sura Nakili




Kutoka 32:24
5 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akawapiga hao watu, kwa tauni kwa kuifanya ile ndama, ambayo Haruni aliifanya.


Akaipokea mikononi mwao akaitengeneza kwa patasi, akaifanya iwe sanamu ya ndama kwa kuiyeyusha; nao wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri.


Naye akitaka kujidai haki, alimwuliza Yesu, Na jirani yangu ni nani?


kama ilivyoandikwa, ya kwamba, Hakuna mwenye haki hata mmoja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo