Kutoka 32:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Na Yoshua aliposikia kelele za watu walipokuwa wakipiga kelele, akamwambia Musa, Kuna kelele ya vita kambini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Yoshua aliposikia kelele za watu, akamwambia Mose, “Kuna kelele za vita kambini.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Yoshua aliposikia kelele za watu, akamwambia Mose, “Kuna kelele za vita kambini.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Yoshua aliposikia kelele za watu, akamwambia Mose, “Kuna kelele za vita kambini.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Yoshua aliposikia sauti za watu wakipiga kelele, akamwambia Musa, “Kuna sauti ya vita kambini.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Yoshua aliposikia sauti za watu wakipiga kelele, akamwambia Musa, “Kuna sauti ya vita kambini.” Tazama sura |
Basi watu wakapiga kelele, na makuhani wakazipiga tarumbeta; hata ikawa, hapo watu waliposikia mlio wa mabaragumu hao watu wakapiga kelele kwa sauti kuu sana, na ule ukuta wa mji ukaanguka chini kabisa, hata watu wakapanda juu, wakaingia katika mji, kila mtu akisonga mbele kukabili; wakautwaa huo mji.