Kutoka 32:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Na zile mbao zilikuwa kazi ya Mungu nayo maandiko yalikuwa maandiko ya Mungu, yaliyochorwa katika zile mbao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Vibao hivyo vilikuwa kazi yake Mungu mwenyewe na maandishi hayo aliyachora Mungu mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Vibao hivyo vilikuwa kazi yake Mungu mwenyewe na maandishi hayo aliyachora Mungu mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Vibao hivyo vilikuwa kazi yake Mungu mwenyewe na maandishi hayo aliyachora Mungu mwenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Vibao hivyo vilikuwa kazi ya Mungu; maandishi yalikuwa mwandiko wa Mungu, yaliyochorwa kama muhuri juu ya vibao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Vibao hivyo vilikuwa kazi ya Mungu; maandishi yalikuwa mwandiko wa Mungu, yaliyochorwa kama muhuri juu ya vibao. Tazama sura |