Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 31:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 BWANA akasema na Musa, na kumwambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kisha Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kisha bwana akamwambia Musa,

Tazama sura Nakili




Kutoka 31:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Siku hizo niliona katika Yuda watu wengine waliosindika zabibu ili kupata mvinyo siku ya sabato, na wengine waliochukua miganda, na kuwapakia punda zao; tena na mvinyo, na zabibu, na tini, na namna zote za mizigo, waliyoileta Yerusalemu, siku ya sabato; nami nikashuhudia juu yao siku ile waliyouza vyakula.


Je! Sivyo hivyo walivyofanya baba zenu; na Mungu wetu, je! Hakuyaleta mabaya haya yote juu yetu, na juu ya mji huu? Nanyi hata hivyo mnazidi kuleta ghadhabu juu ya Israeli kwa kuinajisi sabato!


Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.


na mafuta ya kutiwa, na uvumba wa manukato mazuri, kwa ajili ya mahali patakatifu; sawasawa na yote niliyokuagiza ndivyo watakavyofanya wao.


Kisha, nena na wana wa Israeli, na kuwaambia, Hakika mtazishika Sabato zangu, kwa kuwa ni ishara kati yenu na mimi katika vizazi vyenu vyote; ili mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA niwatakasaye ninyi.


Kwa sababu hiyo Wayahudi wakamwambia yule aliyeponywa, Leo ni sabato, wala si halali kwako kujitwika godoro.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo