Kutoka 29:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC39 Mwana-kondoo mmoja utamchinja asubuhi; na mwana-kondoo wa pili utamchinja jioni; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema39 Mwanakondoo mmoja utamtoa sadaka asubuhi na mwingine jioni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND39 Mwanakondoo mmoja utamtoa sadaka asubuhi na mwingine jioni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza39 Mwanakondoo mmoja utamtoa sadaka asubuhi na mwingine jioni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu39 Utamtoa mmoja asubuhi na huyo mwingine jioni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu39 Utamtoa mmoja asubuhi na huyo mwingine jioni. Tazama sura |
Mfalme Ahazi akamwamuru Uria kuhani, akisema, Juu ya madhabahu hiyo kubwa uiteketeze sadaka ya kuteketezwa ya asubuhi, na sadaka ya unga ya jioni, na sadaka ya mfalme ya kuteketezwa, na sadaka yake ya unga, pamoja na sadaka ya kuteketezwa ya watu wote wa nchi, na sadaka yao ya unga, na sadaka zao za kinywaji; ukanyunyize juu yake damu yote ya sadaka ya kuteketezwa, na damu yote ya dhabihu; bali madhabahu ya shaba itakuwa kwangu mimi ili niiulizie.
nao humtolea BWANA kila asubuhi, na kila jioni, sadaka za kuteketezwa na fukizo la manukato; mikate ya wonyesho pia huiweka kwa taratibu yake juu ya meza takatifu, na kinara cha dhahabu chenye taa zake, kuwaka kila jioni; kwa maana sisi tunayatunza maagizo ya BWANA, Mungu wetu; bali ninyi mmemwacha.