Kutoka 28:42 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC42 Nawe wafanyie suruali za nguo ya kitani, ili kufunika tupu ya miili yao; suruali hizo zitafika tangu kiunoni hadi mapajani; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema42 Vilevile utawashonea suruali za kitani zitakazowafunika tangu kiunoni mpaka mapajani, ili wafunike uchi wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND42 Vilevile utawashonea suruali za kitani zitakazowafunika tangu kiunoni mpaka mapajani, ili wafunike uchi wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza42 Vilevile utawashonea suruali za kitani zitakazowafunika tangu kiunoni mpaka mapajani, ili wafunike uchi wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu42 “Watengenezee nguo za ndani za kitani zitakazofunika mwili, kutoka kiunoni hadi mapajani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu42 “Watengenezee nguo za ndani za kitani zitakazofunika mwili, kutoka kiunoni hadi mapajani. Tazama sura |