Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 28:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

34 njuga ya dhahabu na komamanga, katika pindo za joho kuizunguka pande zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Komamanga, njuga, komamanga, njuga, kuizunguka kanzu yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Komamanga, njuga, komamanga, njuga, kuizunguka kanzu yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 komamanga, njuga, komamanga, njuga, kuizunguka kanzu yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Hivyo vikengele vya dhahabu na makomamanga vitapishana kuzunguka upindo wa joho lile.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Hivyo vikengele vya dhahabu na makomamanga vitapishana kuzunguka upindo wa joho lile.

Tazama sura Nakili




Kutoka 28:34
15 Marejeleo ya Msalaba  

Heri watu wale waijuao sauti ya shangwe, Ee BWANA, waendao, katika nuru ya uso wako.


Nawe katika pindo zake utatia makomamanga ya rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, kuzunguka pindo zake kotekote; na njuga za dhahabu kati ya hayo makomamanga pande zote;


Nayo itakuwa juu ya Haruni akitumika; na sauti ya hizo njuga itasikika hapo aingiapo ndani ya mahali patakatifu mbele ya BWANA na hapo atokapo nje, ili kwamba asife.


Naye akafanya hilo joho la naivera ya kazi ya kusuka, rangi ya samawati yote;


njuga na komamanga, njuga na komamanga katika pindo za joho kuizunguka pande zote, ili kutumika kwa hiyo; vile vile kama BWANA alivyomwagiza Musa.


Kama mpera kati ya miti ya msituni, Kadhalika mpendwa wangu kati ya vijana. Niliketi kivulini mwake kwa furaha, Na matunda yake niliyaonja kuwa matamu.


Machipuko yako ni bustani ya komamanga, Yenye matunda mazuri, hina na nardo,


Midomo yako ni kama uzi mwekundu, Na kinywa chako ni kizuri; Mashavu yako ni kama nusu kipande cha komamanga, Nyuma ya barakoa yako.


Nilishukia katika bustani ya milozi, Ili kuyatazama machipuko ya bondeni; Nione kama mzabibu umechanua, Kama mikomamanga imetoa maua.


Mashavu yako ni kama kipande cha komamanga, Nyuma ya barakoa yako.


Ningekuongoza nyumbani mwa mamangu, Naye angenifundisha; Ningekunywesha divai iliyokolea, Divai mpya ya mkomamanga wangu.


Si ninyi mlionichagua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lolote mmwombalo Baba kwa jina langu awapeni.


mwenende kama ulivyo wajibu wenu kwa Bwana, mkimpendeza kabisa; mkizaa matunda kwa kila kazi njema, na kuzidi katika maarifa ya Mungu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo