Kutoka 28:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 na safu ya nne itakuwa ni zabarajadi, shohamu na yaspi; vito hivyo vitakazwa ndani ya dhahabu kwa kujaa mahali pake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 na safu ya nne itakuwa ya zabarajadi, shohamu na yaspi; yote yatatiwa kwenye vijalizo vya dhahabu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 na safu ya nne itakuwa ya zabarajadi, shohamu na yaspi; yote yatatiwa kwenye vijalizo vya dhahabu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 na safu ya nne itakuwa ya zabarajadi, shohamu na yaspi; yote yatatiwa kwenye vijalizo vya dhahabu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 na safu ya nne itakuwa na krisolitho, shohamu na yaspi. Yote yatiwe kwenye vijalizo vya dhahabu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 na safu ya nne itakuwa na krisolitho, shohamu na yaspi. Yote yatiwe kwenye vijalizo vya dhahabu. Tazama sura |