Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 27:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Na hiyo miti itatiwa katika pete, na ile miti itakuwa katika pande mbili za madhabahu, wakati wa kuichukua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Mipiko hiyo itaingizwa kwenye zile pete kila upande wa madhabahu, wakati wa kuibeba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Mipiko hiyo itaingizwa kwenye zile pete kila upande wa madhabahu, wakati wa kuibeba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Mipiko hiyo itaingizwa kwenye zile pete kila upande wa madhabahu, wakati wa kuibeba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Hiyo mipiko itaingizwa kwenye zile pete ili iwe pande mbili za madhabahu inapobebwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Hiyo mipiko itaingizwa kwenye zile pete ili iwe pande mbili za madhabahu inapobebwa.

Tazama sura Nakili




Kutoka 27:7
5 Marejeleo ya Msalaba  

Fanya ile miti ya mti wa mshita, na kuifunika dhahabu, kwamba ile meza ichukuliwe kwayo.


Nawe fanya miti kwa ajili ya madhabahu, miti ya mshita, na kuifunika shaba.


Kisha utaifanyia pete mbili za dhahabu, chini ya ukingo wake katika mbavu zake mbili, katika pande zake mbili utazifanya; nazo zitakuwa mahali pa kuitia miti ya kuichukulia.


Na Haruni na wanawe watakapokwisha kupafunika mahali patakatifu, na vyombo vyote vya mahali patakatifu, hapo watakapong'oa kambi; baadaye, wana wa Kohathi watakuja kuvichukua; lakini wasiviguse vile vitu vitakatifu, wasife. Vyombo vile ni mzigo wa wana wa Kohathi katika hema ya kukutania.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo