Kutoka 27:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Na upande wa magharibi, upana wa ua kutakuwa na chandarua ya dhiraa hamsini; nguzo zake kumi, na vitako vyake kumi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Upande wa magharibi wa ua utakuwa na chandarua chenye urefu wa mita 22, na nguzo zake 10 na vikalio vyake 10. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Upande wa magharibi wa ua utakuwa na chandarua chenye urefu wa mita 22, na nguzo zake 10 na vikalio vyake 10. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Upande wa magharibi wa ua utakuwa na chandarua chenye urefu wa mita 22, na nguzo zake 10 na vikalio vyake 10. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 “Upande wa magharibi wa ua utakuwa na upana wa dhiraa hamsini, nao utakuwa na mapazia, na nguzo kumi na vitako vyake kumi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 “Upande wa magharibi wa ua utakuwa na upana wa dhiraa hamsini, nao utakuwa na mapazia, na nguzo kumi na vitako vyake kumi. Tazama sura |