Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 25:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 Na makoleo yake, na visahani vyake, vyote vitakuwa vya dhahabu safi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Tengeneza pia koleo zake na visahani vyake kwa dhahabu safi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Tengeneza pia koleo zake na visahani vyake kwa dhahabu safi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Tengeneza pia koleo zake na visahani vyake kwa dhahabu safi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Mikasi ya kusawazishia tambi, pamoja na masinia, zote zitakuwa za dhahabu safi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Mikasi ya kusawazishia tambi, pamoja na masinia, zote zitakuwa za dhahabu safi.

Tazama sura Nakili




Kutoka 25:38
10 Marejeleo ya Msalaba  

na vikombe, na makasi, na mabakuli, na miiko, na vyetezo, vya dhahabu safi; na bawaba za dhahabu, za milango ya nyumba ya ndani, yaani, patakatifu pa patakatifu, na za milango ya nyumba, ndiyo hekalu.


Lakini havikufanywa kwa nyumba ya BWANA vikombe vya fedha, wala makasi, wala mabakuli, wala panda, wala vyombo vyovyote vya dhahabu, wala vyombo vya fedha, kwa hiyo fedha iliyoletwa nyumbani mwa BWANA;


Nayo masufuria, na majembe, na makasi, na miiko, na vyombo vyote vya shaba walivyokuwa wakivitumia, wakavichukua vyote.


na maua, na taa, na makoleo, ya dhahabu, ndiyo dhahabu bora;


Nawe zifanye taa zake saba; nao wataziwasha hizo taa zake, zitoe nuru mbele yake.


Kitafanywa cha talanta moja ya dhahabu safi, pamoja na vyombo hivi vyote.


Kisha akafanya taa zake saba, makoleo yake na visahani vyake, vya dhahabu safi.


Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia; naye alikuwa na kaa la moto mkononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa kwa makoleo toka juu ya madhabahu;


Nayo masufuria, na majembe, na makasi, na mabakuli, na miiko, na vyombo vyote vya shaba walivyokuwa wakivitumia, wakavichukua vyote.


Kisha watatwaa nguo ya rangi ya samawati, na kukifunika kinara cha taa ya nuru, na taa zake, na makasi yake, na sahani zake za kuwekea makaa, na vyombo vyake vyote vya mafuta, watumiavyo kwa kazi yake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo