Kutoka 25:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC32 nacho kitakuwa na matawi sita yenye kutoka ubavuni mwake; matawi matatu ya kinara upande wake mmoja, na matawi matatu ya kinara upande wake wa pili Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Matawi sita yatatokeza kila upande wa ufito wake, matawi matatu upande mmoja na matawi matatu upande mwingine. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Matawi sita yatatokeza kila upande wa ufito wake, matawi matatu upande mmoja na matawi matatu upande mwingine. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Matawi sita yatatokeza kila upande wa ufito wake, matawi matatu upande mmoja na matawi matatu upande mwingine. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Matawi sita yatatokeza kuanzia ule ufito wa katikati wa kinara cha taa: matawi matatu upande mmoja na matatu upande mwingine. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Matawi sita yatatokeza kuanzia ule ufito wa katikati wa kinara cha taa: matawi matatu upande mmoja na matatu upande mwingine. Tazama sura |