Kutoka 25:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Nawe utaiweka mikate ya wonyesho juu ya meza mbele yangu daima. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Meza hiyo utaiweka mbele ya sanduku la agano, na juu ya meza hiyo utaiweka ile mikate ya kuwekwa mbele yangu daima. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Meza hiyo utaiweka mbele ya sanduku la agano, na juu ya meza hiyo utaiweka ile mikate ya kuwekwa mbele yangu daima. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Meza hiyo utaiweka mbele ya sanduku la agano, na juu ya meza hiyo utaiweka ile mikate ya kuwekwa mbele yangu daima. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Utaweka mikate ya Wonesho juu ya meza hii iwe mbele yangu daima. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Utaweka mikate ya Wonyesho juu ya meza hii iwe mbele yangu daima. Tazama sura |
nao humtolea BWANA kila asubuhi, na kila jioni, sadaka za kuteketezwa na fukizo la manukato; mikate ya wonyesho pia huiweka kwa taratibu yake juu ya meza takatifu, na kinara cha dhahabu chenye taa zake, kuwaka kila jioni; kwa maana sisi tunayatunza maagizo ya BWANA, Mungu wetu; bali ninyi mmemwacha.
Angalia, najenga nyumba kwa jina la BWANA, Mungu wangu, ili kumfanyia wakfu, ya kufukizia mbele zake fukizo la manukato, na ya mkate wa wonyesho wa daima, na ya sadaka za kuteketezwa za asubuhi na jioni, na za siku za sabato, na za mwezi mpya, na za sikukuu zilizoagizwa za BWANA, Mungu wetu. Hili ni agizo la milele kwa Israeli.