Kutoka 25:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Nawe fanya makerubi mawili ya dhahabu; uyafanye ya kazi ya kufua, katika hiyo miisho ya kiti cha rehema, huku na huku. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Utatengeneza pia mfano wa viumbe hai viwili kwa kufua dhahabu, uviweke kwenye miisho miwili ya kiti hicho; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Utatengeneza pia mfano wa viumbe hai viwili kwa kufua dhahabu, uviweke kwenye miisho miwili ya kiti hicho; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Utatengeneza pia mfano wa viumbe hai viwili kwa kufua dhahabu, uviweke kwenye miisho miwili ya kiti hicho; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Tengeneza makerubi wawili wa dhahabu iliyofuliwa katika miisho ya hicho kifuniko. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Tengeneza makerubi wawili wa dhahabu iliyofuliwa katika miisho ya hicho kifuniko. Tazama sura |