Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 25:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Nawe fanya miti mirefu ya mshita na kuifunika dhahabu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Utatengeneza mipiko ya mjohoro na kuipaka dhahabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Utatengeneza mipiko ya mjohoro na kuipaka dhahabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Utatengeneza mipiko ya mjohoro na kuipaka dhahabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kisha utatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kisha utatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu.

Tazama sura Nakili




Kutoka 25:13
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na ile miti kwa kuwa mirefu, ncha za miti zilionekana katika mahali patakatifu, mbele ya chumba cha ndani; lakini hazikuonekana nje; nayo iko kuko huko hata leo.


Na wana wa Walawi wakalichukua sanduku la Mungu mabegani mwao kwa miti yake, kama vile Musa alivyoamuru, kulingana na neno la BWANA.


Nawe subu vikuku vinne vya dhahabu kwa ajili yake, na kuvitia katika miguu yake minne; vikuku viwili upande mmoja, na vikuku viwili upande wake wa pili.


Nawe tia hiyo miti katika vile vikuku vilivyo katika pande mbili za sanduku ili kulichukua hilo sanduku.


Fanya ile miti ya mti wa mshita, na kuifunika dhahabu, kwamba ile meza ichukuliwe kwayo.


na ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo, na miti ya mjohoro,


Nawe fanya miti kwa ajili ya madhabahu, miti ya mshita, na kuifunika shaba.


Na ile miti utaifanya kwa mti wa mshita, na kuifunikiza dhahabu safi.


Akafanya na miti ya kulichukulia, ya mti wa mshita akaifunika dhahabu.


Akautwaa ule ushuhuda, akautia ndani ya sanduku, akaiweka miti ya kuchukulia juu ya sanduku, akakiweka kiti cha rehema juu ya sanduku;


Tena watatandika nguo ya rangi ya samawati juu ya madhabahu ya dhahabu, na kuifunika kwa ngozi za pomboo, na kuitia ile miti yake;


nao wataweka vyombo vyake vyote juu yake ambavyo wavitumia katika madhabahu, vyetezo, na nyuma, na miiko, na mabakuli, vyombo vyote vya hiyo madhabahu; nao watatandika juu yake ngozi za pomboo, na kutia miti yake mahali pake.


kisha ataweka juu yake ngozi laini ya mnyama za kulifunikia, na kutandika juu yake nguo ya rangi ya samawati tupu, kisha watatia hiyo miti yake.


nao watatandika juu yake nguo ya rangi nyekundu, na kuifunika kwa ngozi za pomboo za kuifunikia, na kuiweka ile miti yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo