Kutoka 25:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Nawe ulifunike kwa dhahabu safi, ulifunike ndani na nje, nawe tia na ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Utalipaka sanduku hilo dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu pande zote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Utalipaka sanduku hilo dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu pande zote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Utalipaka sanduku hilo dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu pande zote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Utalifunika hilo Sanduku kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu juu yake kulizunguka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Utalifunika hilo Sanduku kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu juu yake kulizunguka. Tazama sura |