Kutoka 24:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Musa akaenda akawaambia watu maneno yote ya BWANA, na hukumu zake zote; watu wote wakajibu kwa sauti moja, wakasema, Maneno yote aliyoyanena BWANA tutayatenda. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Basi, Mose akaenda na kuwaambia watu wote maneno na maagizo yote Mwenyezi-Mungu aliyomwambia. Watu wote wakajibu kwa sauti moja, “Mambo yote aliyoyasema Mwenyezi-Mungu, tutayafanya.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Basi, Mose akaenda na kuwaambia watu wote maneno na maagizo yote Mwenyezi-Mungu aliyomwambia. Watu wote wakajibu kwa sauti moja, “Mambo yote aliyoyasema Mwenyezi-Mungu, tutayafanya.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Basi, Mose akaenda na kuwaambia watu wote maneno na maagizo yote Mwenyezi-Mungu aliyomwambia. Watu wote wakajibu kwa sauti moja, “Mambo yote aliyoyasema Mwenyezi-Mungu, tutayafanya.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Musa alipoenda na kuwaambia watu maneno yote na sheria zote za Mwenyezi Mungu, wakaitikia kwa sauti moja, “Kila kitu alichosema Mwenyezi Mungu tutakifanya.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Musa alipokwenda na kuwaambia watu maneno yote na sheria zote za bwana, wakaitikia kwa sauti moja, “Kila kitu alichosema bwana tutakifanya.” Tazama sura |