Kutoka 24:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Naye hakuweka mkono wake juu ya hao wakuu wa wana wa Israeli; nao wakamwona Mungu, wakala na kunywa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Na Mungu hakuwadhuru hao viongozi wa watu wa Israeli. Walimwona Mungu, wakala na kunywa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Na Mungu hakuwadhuru hao viongozi wa watu wa Israeli. Walimwona Mungu, wakala na kunywa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Na Mungu hakuwadhuru hao viongozi wa watu wa Israeli. Walimwona Mungu, wakala na kunywa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Lakini Mungu hakuinua mkono wake dhidi ya hawa viongozi wa Waisraeli; walimwona Mungu, nao wakala na kunywa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Lakini Mungu hakuinua mkono wake dhidi ya hawa viongozi wa Waisraeli; walimwona Mungu, nao wakala na kunywa. Tazama sura |