Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 23:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Mara tatu kila mwaka utaniwekea sikukuu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 “Mara tatu kila mwaka mtafanya sikukuu kwa heshima yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 “Mara tatu kila mwaka mtafanya sikukuu kwa heshima yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 “Mara tatu kila mwaka mtafanya sikukuu kwa heshima yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 “Mara tatu kwa mwaka utanifanyia sikukuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 “Mara tatu kwa mwaka utanifanyia sikukuu.

Tazama sura Nakili




Kutoka 23:14
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na mara tatu kila mwaka Sulemani alikuwa akitoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani juu ya madhabahu aliyomjengea BWANA akafukiza uvumba pamoja nazo juu ya madhabahu iliyokuwako mbele za BWANA. Hivyo akaimaliza nyumba.


kadiri ilivyohitajiwa huduma ya kila siku, akitoa sawasawa na amri ya Musa, siku za sabato, na za mwezi mpya, na za sikukuu zilizoamriwa, mara tatu kila mwaka, yaani, sikukuu ya mikate isiyochachwa, na sikukuu ya majuma, na sikukuu ya vibanda.


Mara tatu katika mwaka wana wa kiume wako wote watahudhuria mbele ya Bwana MUNGU.


Usijifanyizie miungu ya kuyeyusha.


Hiyo sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu utaitunza. Utakula mikate isiyotiwa chachu muda wa siku saba, kama nilivyokuagiza, kwa majira yaliyoaganwa katika mwezi wa Abibu; kwa kuwa ulitoka Misri katika mwezi huo wa Abibu.


Lakini watu wa nchi watakapokuja mbele za BWANA katika sikukuu zilizoamriwa, yeye aingiaye kwa njia ya lango la upande wa kaskazini ili kuabudu, atatoka kwa njia ya lango la upande wa kusini; na yeye aingiaye kwa njia ya lango la upande wa kusini, atatoka kwa njia ya lango la upande wa kaskazini; hatarudi kwa njia ya lango aliloingia kwalo, lakini atatoka kwa kwenda mbele moja kwa moja.


hata siku ya pili ya hiyo Sabato ya saba mtahesabu siku hamsini; nanyi mtamsogezea BWANA sadaka ya unga mpya.


Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Siku ya kumi na tano ya mwezi huo wa saba ni sikukuu ya vibanda muda wa siku saba kwa BWANA.


Sikukuu za BWANA ni hizi, ni makusanyiko matakatifu, ambayo mtayatangaza kwa nyakati zake.


Mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi wakati wa jioni, ni Pasaka ya BWANA.


Utunze mwezi wa Abibu, ukamfanyie Pasaka BWANA, Mungu wako, kwa kuwa ilikuwa ni mwezi wa Abibu alipokutoa Misri usiku BWANA; Mungu wako.


Mara tatu kwa mwaka na watokee wana wa kiume wako wote mbele za BWANA, Mungu wako, mahali atakapochagua; katika sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu, na katika sikukuu ya majuma, na katika sikukuu ya vibanda; wala wasitokee mbele za BWANA mikono mitupu.


Na mtu huyo alikuwa akikwea kutoka mjini kwake mwaka kwa mwaka, ili kuabudu, na kumtolea BWANA wa majeshi dhabihu katika Shilo. Na wale wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, makuhani wa BWANA, walikuwako huko.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo