Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kutoka 21:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Lakini huyo mtumwa akisema waziwazi, Mimi nampenda bwana wangu, na mke wangu na watoto wangu; sitaki mimi kutoka niwe huru;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Lakini kama mtumwa huyo akisema kwamba anampenda bwana wake, mke wake na watoto wake na hataki kuondoka na kuwa huru,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Lakini kama mtumwa huyo akisema kwamba anampenda bwana wake, mke wake na watoto wake na hataki kuondoka na kuwa huru,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Lakini kama mtumwa huyo akisema kwamba anampenda bwana wake, mke wake na watoto wake na hataki kuondoka na kuwa huru,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 “Lakini mtumishi akisema, ‘Ninampenda bwana wangu, mke wangu pamoja na watoto na sitaki kuwa huru,’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 “Lakini kama mtumishi akisema, ‘Ninampenda bwana wangu, mke wangu pamoja na watoto na sitaki kuwa huru,’

Tazama sura Nakili




Kutoka 21:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa ni bwana wake aliyemwoza huyo mke, naye amemzalia wana, wa kiume au wa kike; yule mke na wanawe watakuwa ni mali ya bwana wake, naye mume atatoka peke yake.


ndipo hapo huyo bwana wake atamleta mbele ya Mungu na kumleta mlangoni, au penye mwimo wa mlango; na bwana wake atalitoboa sikio lake kwa uma; ndipo atamtumikia sikuzote.


Ee BWANA, Mungu wetu, mabwana wengine zaidi ya wewe wametumiliki; lakini kwa msaada wako peke yako tutalitaja jina lako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo