Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 21:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Yeye amwibaye mtu, na kumwuza, au akipatikana mkononi mwake, sharti atauawa huyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 “Amtekaye mtu nyara ili kumwuza au kumfanya mtumwa wake lazima auawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 “Amtekaye mtu nyara ili kumwuza au kumfanya mtumwa wake lazima auawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 “Amtekaye mtu nyara ili kumwuza au kumfanya mtumwa wake lazima auawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 “Yeyote anayemteka nyara mwingine akamuuza au akamweka kwake, akikamatwa ni lazima auawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 “Yeyote amtekaye nyara mwingine akamuuza au akamweka kwake, akikamatwa ni lazima auawe.

Tazama sura Nakili




Kutoka 21:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wakapita wafanya biashara Wamidiani; basi wakamtoa Yusufu, wakampandisha kumtoa katika shimo, wakamuuza Yusufu kwa Waishmaeli kwa vipande vya fedha ishirini; nao wakamchukua Yusufu mpaka Misri.


Kwa sababu hakika niliibwa kutoka nchi ya Waebrania, wala hapa sikutenda jambo lolote hata wanitie gerezani.


Ampigaye baba yake au mama yake, sharti atauawa.


Kama hicho kitu kilichoibwa chapatikana hai mkononi mwake, kama ni ng'ombe, au punda, au kondoo; atalipa thamani yake mara mbili.


Mtu akionekana anamwiba nduguze mmojawapo katika wana wa Israeli, akamfanya kama mtumwa, au kumwuza; na afe mwizi huyo; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.


na wazinifu, na wafiraji, na waibao watu, na waongo, nao waapao kwa uongo; na linginelo lolote lisilopatana na mafundisho ya kweli;


bidhaa ya dhahabu, fedha, vito vyenye thamani, lulu, kitani nzuri, nguo ya rangi ya zambarau, hariri na nguo nyekundu; na kila mti wa uudi, kila chombo cha pembe, kila chombo cha mti wa thamani nyingi, cha shaba, cha chuma na cha marimari;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo