Kutoka 21:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Mtu yeyote ampigaye mtu, hata akafa, hana budi atauawa huyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 “Ampigaye mtu na kumwua, lazima auawe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 “Ampigaye mtu na kumwua, lazima auawe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 “Ampigaye mtu na kumwua, lazima auawe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 “Yeyote anayempiga mtu na kumuua ni lazima auawe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 “Yeyote ampigaye mtu na kumuua ni lazima auawe hakika. Tazama sura |